Tuesday, August 30, 2011

WATOTO WAPEWE MALEZI BORA WAKUWE KIAKILI
Na Aisha Mbaga
WATOTO ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia
watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini
ambalolitaendelea kupigwa vita kila kukicha.
Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda
watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia
katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni
tatizo.
Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi
Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya
vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso
lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo
ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
katika wilaya 11 za Tanzania Bara.
Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,
Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.
Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna
ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika
Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.
Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo
viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.
Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa
yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana
ya tatizo hilo kwa nchi nzima.
Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli
unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha
vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.
Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa
ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa
kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita
vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.
Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto
ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni
wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno
kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao
wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`
Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa
hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya
Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya
nchini inao watoto wasiopungua sita.
Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni
sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu
wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.
Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi
mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati
ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya
watoto.
Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule
unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini
anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.
Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,
udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni
za kijamii.
Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau
waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema
jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa
wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.
Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini
zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa
kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.
Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo
yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na
kuishi maisha ya usalama.
Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni
furaha ya kila aliye mzazi.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na
unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.
Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya
wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya
watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji
kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.
Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi
watoto wa kike kuliko wa kiume.
Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa
kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,
lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.
Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika
kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.
Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia
binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.
Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa
na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.
Hata Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia
watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini
ambalo litaendelea kupigwa vita kila kukicha.
Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda
watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia
katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni
tatizo.
Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi
Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya
vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso
lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo
ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
katika wilaya 11 za Tanzania Bara.
Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,
Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.
Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna
ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika
Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.
Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo
viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.
Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa
yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana
ya tatizo hilo kwa nchi nzima.
Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli
unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha
vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.
Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa
ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa
kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita
vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.
Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto
ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni
wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno
kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao
wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`
Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa
hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya
Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya
nchini inao watoto wasiopungua sita.
Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni
sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu
wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.
Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi
mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati
ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya
watoto.
Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule
unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini
anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.
Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,
udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni
za kijamii.
Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau
waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema
jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa
wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.
Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini
zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa
kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.
Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo
yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na
kuishi maisha ya usalama.
Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni
furaha ya kila aliye mzazi.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na
unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.
Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya
wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya
watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji
kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.
Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi
watoto wa kike kuliko wa kiume.
Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa
kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,
lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.
Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika
kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.
Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia
binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.
Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa
na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.
Hata Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia
watoto wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini
ambalo litaendelea kupigwa vita kila kukicha.
Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda
watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia
katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni
tatizo.
Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi
Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya
vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso
lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo
ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
katika wilaya 11 za Tanzania Bara.
Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,
Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.
Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna
ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika
Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.
Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo
viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.
Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa
yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana
ya tatizo hilo kwa nchi nzima.
Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli
unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha
vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.
Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa
ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa
kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita
vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.
Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto
ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni
wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno
kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao
wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`
Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa
hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya
Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya
nchini inao watoto wasiopungua sita.
Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni
sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu
wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.
Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi
mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati
ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya
watoto.
Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule
unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini
anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.
Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,
udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni
za kijamii.
Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau
waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema
jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa
wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.
Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini
zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa
kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.
Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo
yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na
kuishi maisha ya usalama.
Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni
furaha ya kila aliye mzazi.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na
unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.
Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya
wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya
watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji
kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.
Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi
watoto wa kike kuliko wa kiume.
Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa
kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,
lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.
Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika
kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.
Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia
binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.
Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa
na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto. Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini ambalo
litaendelea kupigwa vita kila kukicha.
Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda
watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia
katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni
tatizo.
Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi
Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya
vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso
lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo
ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
katika wilaya 11 za Tanzania Bara.
Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,
Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.
Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna
ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika
Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.
Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo
viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.
Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa
yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana
ya tatizo hilo kwa nchi nzima.
Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli
unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha
vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.
Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa
ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa
kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita
vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.
Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto
ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni
wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno
kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao
wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`
Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa
hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya
Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya
nchini inao watoto wasiopungua sita.
Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni
sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu
wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.
Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi
mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati
ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya
watoto.
Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule
unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini
anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.
Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,
udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni
za kijamii.
Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau
waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema
jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa
wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.
Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini
zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa
kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.
Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo
yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na
kuishi maisha ya usalama.
Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni
furaha ya kila aliye mzazi.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na
unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.
Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya
wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya
watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji
kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.
Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi
watoto wa kike kuliko wa kiume.
Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa
kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,
lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.
Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika
kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.
Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia
binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.
Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa
na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, lakini vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi yao ni tatizo kubwa nchini ambalo
litaendelea kupigwa vita kila kukicha.
Mtu mmoja mmoja, familia au kaya na Serikali kwa ujumla wana jukumu la kuwalinda
watoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Hii inatokana na ukweli kwamba tatizo hilo limeota mizizi, kusambaa na kujichimbia
katika jamii ambapo kwa ujumla, usalama na ustawi wa watoto hapa nchini bado ni
tatizo.
Mwishoni mwa mwaka jana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi
Annan aliwasilisha katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa taarifa kuhusu utafiti juu ya
vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Tanzania ilishiriki katika utafiti huo kwa kuchangia taarifa mbalimbali katika dodoso
lililoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa udhamini uliofanywa na Ofisi ya Shirika la
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jijii Dar es Salaam ambayo
ilifadhili mradi wa utafiti uliofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
katika wilaya 11 za Tanzania Bara.
Wilaya zilizofanyiwa utafiti huo ni Tabora, Morogoro Vijijini, Moshi Vijijini, Kilwa,
Mafia, Kibondo, Magu, Kinondoni, Lushoto, Mbinga na Mbeya.
Matokeo ya utafiti huo yalijadiliwa katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu namna
ya kuondokana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto uliofanyika
Oktoba 6 mwaka jana jijiini Dar es Salaam.
Wadau wa mkutano huo waliweka mikakati ya pamoja na kupiga vita vitendo hivyo
viovu vinavyofanywa dhidi ya watoto.
Pamoja na utafiti huo kufanyika katika wilaya 11, lakini ni ukweli usiofichika kuwa
yaliyobainika katika wilaya hizo chache, kwa kiasi kikubwa yanawakilisha taswira pana
ya tatizo hilo kwa nchi nzima.
Licha ya utafiti huo kuibua sababu nyingi za kuwepo kwa tatizo hili, hata hivyo ukweli
unaojitokeza ni kuwa hakuna sababu yo yote ile kati ya hizo inayoweza kuhalalisha
vitendo vya ukatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto.
Kwa upande Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini, Bw. Rodney Philips anaona kuwa
ripoti ya utafiti huo imehimiza Serikali ya Tanzania kuwekeza raslimali na muda wa
kutosha katika kujenga uwezo, mtandao na ushirikiano wenye lengo la kupiga vita
vitendo vya udhalilishaji watoto vitakavyojitokeza kwa namna yo yote ile.
Akizungumza wakati akifungua mkutano huo, Rais Jakaya Kikwete alisema, `watoto
ndio msingi wa taifa la kesho, bila ya watoto kupewa malezi na matayarisho mazuri ni
wazi kuwa taifa halina matumaini mazuri siku za baadaye...watoto nchini ni wengi mno
kiasi kwamba tusipowaangalia na kuwaandaa au kuwaandalia vizuri ushiriki wao
wawapo vijana na watu wazima taifa litakuwa limepata hasara kubwa sana.`
Kwa mujibu wa sensa iliyotolewa na Idara ya Takwimu mwaka 2004 inaonyesha kuwa
hapa Tanzania watoto ni zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wote, yaani, zaidi ya nusu ya
Watanzania ni watoto na takwimu hizi zinaonyesha kuwa kwa wastani karibu kila kaya
nchini inao watoto wasiopungua sita.
Rais Kikwete alisema ni muhimu jamii itilie maanani ukweli huu na itambue watoto ni
sehemu muhimu ya jamii, siyo kwa idadi yao tu, bali pia kwa kuwa ni binadamu
wanaostahilil kupewa haki zote za msingi.
Ili kutekeleza vita dhidi ya tatizo hilo, viongozi wa Serikali, viongozi wa kidini, taasisi
mbalimbali, asasi zisizo za kiserikali, wananchi, watoto wanatakiwa kuweka mikakati
ya pamoja kwa lengo la kukomesha au kudhibiti vitendo viovu vinavyofanywa dhidi ya
watoto.
Bw. Philips anabainisha kuwa labda unyanyasaji mkubwa dhidi ya mtoto ni ule
unaofanywa na mtu mzima mwenye kuaminiwa na kupewa heshma na mtoto, lakini
anamgeuka na kumnyanyasa na kumdhalilisha kwa kumfanyia vitendo vya ngono.
Udhalilishaji wa watoto kimapenzi ni kitendo cha kuingilia undani wa mtoto,
udhalilishaji wa kimaumbile na kisaikolojia na uvunjaji mkubwa wa maadili na kanuni
za kijamii.
Bw. Philips ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa wadau
waliokuwa wakijadili Ripoti ya Unyanyasaji wa Mtoto Oktoba mwaka jana, alisema
jamii inatakiwa kuzuia vitendo vya kuwadhalilisha watoto ambao wamekuwa
wakianguka katika dimbwi la udhalilishaji wa kimapenzi mara kwa mara.
Alisema katika mambo yote hayo, jamii inatakiwa kuliangalia suala hilo kwa umakini
zaidi hasa kwa wasichana ambao wamekuwa wakiathirika zaidi katika udhalilishaji huo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Mary Nagu anasema Tanzania itazingatia umuhimu wa
kuwa na sera madhubuti, sheria na kuwatambua watoto walio katika mazingira magumu.
Anataja umaskini, uharibifu wa mazingira na janga la Ukimwi kuwa ni maeneo
yanayohitaji nguvu ya pamoja kuyatokomeza ili watoto wawe na uhakika wa kukua na
kuishi maisha ya usalama.
Dk. Nagu anasema watoto ni zawadi kubwa kuliko zote kutoka kwa Mungu. Watoto ni
furaha ya kila aliye mzazi.
Watoto ni mategemeo na matumaini ya wazazi na taifa lo lote linajengwa kupitia watoto
wake, hivyo kuna kila ulazima wa kuwajenga na kuwalinda dhidi ya ukatili na
unyanyaswaji ili kuwahakikishia maisha yaliyo salama.
Kutokana na matokeo ya utafiti, usikilizaji hadharani, maoni na mapendekezo ya
wananchi na wadau mbalimbali kuhusu vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya
watoto, Tume ilianisha vitendo hivyo katika makundi manne ambayo ni; Unyanyasaji
kingono, Mashambulizi kimwili; Utelekezaji na Unyanyasaji wa kisaikolojia.
Katika maoni yake, Tume ilisema tatizo la unyanyasaji kingono linawaathiri zaidi
watoto wa kike kuliko wa kiume.
Utafiti huo umeonyesha kuwa sehemu kubwa ya wananchi na wadau wana uelewa wa
kutosha kuhusu aina hii ya unyanyasaji na inaonyesha ni suala linalowakera wananchi,
lakini vyombo vinavyohusika haviwajibiki ipasavyo.
Aidha baadhi ya wazazi/wananchi/walezi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo katika
kulinda na kutetea watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kingono.
Kuhusu utelekezaji, Tume ilisema tatizo hilo limeonekana kuwa ni suala la familia
binafsi na huwaathiri watoto hao ambao ni taifa la kesho.
Imefahamika kuwa mzigo mkubwa wa kulea watoto katika familia maskini unabebwa
na kina mama. Unyanyasaji wa kisaikolojia una madhara makubwa kwa mtoto.
Hata akiwa mtu mzima, madhara hayo huendelea iwapo hayatapata ufumbuzi kama vile
matukio ya watoto kuchanganywa gerezani/mahabusu na watuu wazima hayamrekebishi
mtoto bali yanaongeza utukufu na usugu.
Serikali isikae kimya na kuachia hali hiyo ikiendelea, lazima ichukue hatua kali kwa
mujibu wa sheria kwa wale wote ambao wanaendeleza vitendo vya ukatili na
unyanyasaji kwa watoto.
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kama chombo cha kitaifa cha kutetea,
kueneza na kulinda haki za binadamu na misingi ya utawala bora nchini imekuwa
ikifuatilia kwa makini suala la haki za makundi maalumu, ikiwa ni pamoja na kundi la
watoto.
mwisho


SIGARA INAMADHARA KULIKO MOSHI WA GARI

Na aisha Mbaga
Uvutaji sigara umekuwa kama kitu cha kawaida kwa watu wengi. Watu huvuta sigara
ili kujisikia vizuri, kuchangamka, kupunguza mawazo na wengine huvuta kama
sehemu ya starehe.
Lakini, sigara au tumbaku hufanya nini miilini mwetu? Je unajua kuwa moshi wa
sigara una madhara kuliko hewa inayotoka kwenye injini za magari?
Dk. Phiilipo Kinabo wa hospitali ya Muzdalfa Yombo Vituka, anasema kuwa, wavutaji
wengi wa Sugara wamekuwa na sfya mbaya kutokana na kuathurika kwa mapafu
hivyo kusumbuliwa na ugonjwa wa TB na kusababisha vifo vingi zaidi.
Kinabo alisema kuwa, wanaoathirika zaidi ni vijana ambao wameshindwa kuacha japo
hawakuanza kuvuta kwa sababu ni dawa ama sigara inavurutubishi, lahasha , wengi
wameathirika kwa tabia za kuiga na kuhisi kuwa wanaovuta sigara ni waungwana
kuliko walevi.
pia alisema kuwa, hakuna kitu kibaya chenye kutoa moshi kinachodhuru kama moshi
wa sigara kutokana na madhara yake kuwa hasara kwa taifa. "Nashidwa kujua kwanini
Serikali inashindwa kupiga marufuku utengenezwaji wa sigara wakati inafahamu wazi
kuwa sigara inahatarisha maisha ya wanadamu wengi Diniana kote.
"Tumbaku ni jani lenye sumu aina ya nicotine ambalo hutafunwa au kuvutwa.
Tumbaku inachangamsha mwili kama ilivyo kwa sumu aina ya caffeine, ambayo
hupatikana kwenye kahawa au chai. Sumu hii, humfanya mtumiaji aizoee kwa haraka
sana. Inamchangamsha mtumiaji na kumfanya awe macho wakati mwingi. Haileweshi
lakini inapunguza hamu ya kula," alisema Dk. Kinabo
pia aliongezea kuwa Uvutaji sigara, unapunguza hewa ya oksijeni kutoka mwilini mwa
mvutaji na kusababisha mwili kutofanya kazi vizuri. Moshi wake unaharibu mishipa na
kusababisha shinikizo la damu na matatizo mengine ya moyo.
"Tumbaku ina lami, ambayo husababisha mapafu kutojisafisha vizuri na kuchangia
kupata maradhi kama vile saratani ya mapafu au koo. Huharibu ngozi na kuathiri
viumbe ambavyo havijazaliwa,"alisma Kinabo.
pia alieleza kuwa, pale mvutaji anapojikuta amekuwa mzoefu inamuwia vigumu
kuacha sigara kutokana na hali halisi, "wengi hujaribu kuacha lakini hushindwa na
kukosa raha, usingizi na kushindwa kufikiri vizuri" alisema Dk. Kinabo.
"Sumu iliyopo kwenye sigara ina madhara makubwa kwa afya. Serikali kwa kutambua
hilo, huwalazimisha watengenezaji wa sigara, kuweka onyo kali la tahadhari kwenye
paketi zao lakini hiyo haitoshi kwani bado watavuta hivyo ni vyema ikapigwa marufuku
kama ilivyo kwa bangi na mihadarati mingine," alieleza Kinabo.
"Kiungo rahisi kuathirika katika uvutaji wa sigara ni mapafu. Baada ya kuvuta moshi
wa kaboni na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu ambavyo
husababisha ugumu katika kupumua na kusababisha kutunga usaha kwenye
mapafu"alisema.
"Hii huchangia kupata maambukizi mengine kama kichomi, kifua kikuu na saratani.
Nikotini vilevile ni mbaya kwa tumbo na husababisha kupoteza hamu ya kula na
maumivu katika tumbo. Watu wanaovuta mara kwa mara hutoa harufu mbaya
mdomoni na hupata matatizo ya ngozi", aliseleza Dk huyo wa mapafu.
Akilinganisha moshi wa sigara na mwingineo barabarani, twaweza kujiuliza. "Je, hewa
chafu na yenye moshi wa sigara ndani ya baa ikilinganishwa na barabarani, ambako
kuna hewa nyingi zinazotoka kwenye injini za magari, kipi kina madhara zaidi", alihoji?
Utafiti uliofanywa na wataalamu huko Marekani umedhihirisha kuwa hewa ya ndani ya
baa ina madhara zaidi. Na uchafuzi kwa hewa ya ndani ya baa au majumba ya
burudani, hautaweza kuondolewa kama watu hawatazuiwa kuvuta sigara ndani ya
majengo hayo.
Matokeo ya utafiti huo, yameonesha kuwa ikilinganishwa na ubora wa hewa iliyoko
katika barabara ambazo magari huenda kwa kasi au zile za mijini, wakati ambao kuna
msongamano wa magari, hewa iliyoko katika baa au majumba ya burudani ina
chembechembe nyingi zinazoweza kusababisha ugonjwa wa saratani kwa zaidi ya
mara hamsini.
Bw. Jeams Rapaz ni kiongozi aliyeongoza utafiti huo. Kwa mara ya kwanza aligundua
kuwa, moshi unaotoka kwenye sigara unasababisha maelfu ya watu kufariki dunia kila
mwaka.
Katika utafiti huo, Bw. Jeams Rapaz aliona kuwa, kiwango cha chembechembe
ndogo zenye uchafuzi wa mazingira katika maeneo wanakofanya kazi wafanyakazi
wa majumba ya starehe na migahawa ni cha juu sana kuliko kiwango cha uchafuzi
kinachoruhusiwa katika hewa ya nje ya majengo.
Kati ya mwezi Novemba mwaka 2002 na Januari mwaka 2003, Bw. Jean Rapaz
alifanya uchunguzi kuhusu hali ya hewa katika majumba ya starehe na migahawa sita
ya mkoani Delaware na kupima chembe za aina mbili zilizoko katika moshi wa sigara.
Matokeo yake yalionesha kuwa kuna microgram mia mbili na thelathini na moja za
chembechembe katika kila mita za ujazo, kiasi ambacho ni mara kumi na tano kuliko
kikomo cha chembe kinachoruhusiwa na mamlaka ya mazingira nchini Marekani.
Na ni mara arobaini na tisa kuliko chembe zilizoko katika barabara ya kasi ya
Wilmington, Marekani wakati wenye msongamano wa magari.
Chembe za uchafuzi za aina mbili, zenye madhara kwa afya za watu zilizoko katika
moshi wa sigara ndani ya majengo manane ya burudani wakati wa usiku zilikuwa na
microgram mia moja thelathini na nne, kiasi ambacho ni mara tano kuliko kikomo
kinachoruhusiwa katika hewa ya nje ya majengo.
Ingawa barabara ya kasi ya Wilmington, ambako kuna uchafuzi mwingi ndani ya hewa
zinazotoka kwenye injini za magari wakati wa msongamano wa magari, lakini chembe
za aina hizo ndani ya hewa ya huko ni microgram saba tu.
Kupiga marufuku kuvuta sigara ndani ya majengo, hususan katika majengo ya
burudani na migahawa ni njia nzuri. Utafiti uliofanywa umeonesha kuwa baada ya
kutolewa amri ya kupiga marufuku kuvuta sigara ndani ya majengo, chembechembe
za aina hizo zenye uchafuzi katika hewa ya majengo ya burudani yaliyotajwa hapo juu,
zimepungua kwa asilimia 90.
Utekelezaji wa sheria ya matumizi ya tumbaku na bidhaa zake nchini Marekani
adhabu dhidi ya matumizi inaanzia sh 56,250 mpaka sh milioni 1.2 au jela miezi sita
kwa wavutaji na wamiliki wa sehemu zinazovunja sheria hiyo.
Tunapaswa kujiuliza kama sheria ya udhibiti wa bidhaa za tumbaku iliyopitishwa
bungeni hapa nchini inatiliwa maanani. Kifungu cha kumi na mbili cha sheria hiyo
kinazuia uvutaji ua utumiaji wa bidhaa za tumbaku katika maeneo ya umma bali
vitendo hivyo bado vinashuhudiwa.

No comments:

Post a Comment